Showing posts with label MA-STAA. Show all posts
Showing posts with label MA-STAA. Show all posts
Staa wa Bongo, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’.
MUSA MATEJA, Risasi Jumamosi
Dar es Salaam: Hii ni habari ya kipekee (Exclusive Story)! Mastaa wawili wenye majina makubwa Bongo ambao walikuwa wachumba walioshibana, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ na Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ wanadaiwa kumwagana, Risasi Jumamosi ndilo gazeti pekee linaloweza kuthubutu kukupa mchapo kamili.

Mastaa wawili wenye majina makubwa Bongo ambao walikuwa wachumba walioshibana, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ na Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ wakiwa katika pozi.
Habari ya mjini kwa sasa ni juu ya wawili hao ambao walikuwa gumzo kwa watoto wa mjini, kwa kila mmoja kuchukua hamsini zake na kufanya yake tofauti na walivyokuwa awali huku chanzo cha kutengena kwao kikitajwa kuwa ni wazazi wa sehemu zote mbili kutoridhiana.

Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa wawili hao, mbali na ishu ya wazazi, hivi karibuni Jokate na Kiba waliingia kwenye gogoro kubwa la kimapenzi baada ya kufumaniana kwenye simu, jambo ambalo limeendelea kutokea huku jamaa akiongoza kukutwa na meseji kwenye simu yake za mwanamke mmoja anayedaiwa kuishi nje ya Tanzania.
BOFYA HAPA KUSIKIA CHANZO
“Ukisema nikusimulie juu ya kumwagana kwa Jokate na Kiba basi tunaweza kukesha ila mbali na mambo ya wazazi, kwa kifupi tu ni kwamba, hawa watu wameingia kwenye mgogoro na kilichokuwa kikiwagombanisha mara nyingi ni uhusiano wao wa zamani.”
KIBA ANA DEMU?
“Mara kadhaa Jojo (Jokate) amekuwa akimlalamikia jamaa (Kiba) kuwa ana demu nje ya nchi ambaye amekuwa akimtundika katika mitandao ya jamii na kujinadi kuwa ndiye mkewe tofauti na wengi wanavyojua kuwa Jokate ndiye mtu wake.
“Mbali na hilo, sasa kuna suala la familia zao kuonesha hali ya kutokubaliana na wao kuoana hasa upande wa Jokate ambao ulionesha msimamo mkubwa kutomtaka hata kidogo Kiba, mambo hayo yamekuwa ni chagizo kubwa katika kuhatarisha mapenzi yao hivyo kufikia hatua hata ya wao kutoendelea kupendana kwa dhati kama ilivyokuwa mwanzo wa penzi lao.”
VIKAO VYAGONGA MWAMBA
“Tofauti na watu walivyozoea kuwaona pamoja, kwa sasa wametibuana na hapa tunapozungumza tayari kuna vikao kibao huko nyuma vilishakaa ili kunusuru penzi lao lakini imeshindikana maana kila mmoja sasa hivi anajifanyia mambo yake na hakuna dalili za kurudiana.
“Kiba anaonekana ameshajiingiza kwenye penzi la demu wake wa zamani huku Jokate naye akiwa ‘in love’ na mtu wake mwingine.”
MPANGO WA KUZAA WAYEYUKA
“Kitambo tu nimekuwa nikiwaambia kwa staili waliyokuwa nayo hakika wasingeoana hata kama ukiweka pembeni suala la dini zao kutoendana, maana kuna siku niliwasikia wakiambiana hata kama wazazi wakigoma wao wangefanya kila juhudi hata wazae pamoja tu.
“Lakini ukweli ni kwamba ilishindikana baada ya kuanza kugombana mara kwa mara, pamoja na kwamba Jokate alikuwa akikubalika kwa asilimia zote kwa mama Kiba na hata ndugu wengi wa Kiba walionekana kumpenda waziwazi,” kilisema chanzo hicho.
KIBA AFUNGUKA
Baada ya kupenyezewa mchongo huo, gazeti hili liliingia mzigoni kumtafuta Kiba ili atoe la moyoni juu ya madai hayo ya kumwagana na Jokate ambapo alipopatikana alisema kuwa haoni sababu ya kuzungumzia ishu hiyo kwani ni mambo binafsi.
“Kusema kweli ishu hii mimi sina uwezo wa kuiongelea zaidi kwa sasa kwani ni mambo binafsi sana na sioni faida ya kuzungumzia vitu ambavyo havina maana.
“Kwanza sioni nini cha kuongelea hapa kwani kila jambo lina mipaka yake,” alisema Kiba akikataa kuulizwa zaidi juu ya suala hilo.
JOKATE VIPI?
Kwa upande wa Jokate alipotafutwa kwa siku kadhaa ili azungumzie sakata hilo kwa ufasaha hakupokea simu ya mwandishi wetu hadi gazeti linaingia mitamboni.
PENZI LA JOKATE NA KIBA
Awali zilipovuja habari za penzi la Jokate na Kiba wote walikanusha, kadiri siku zilivyosonga ndivyo walivyozidi kuwa gumzo kwa mashabiki wao waliofurahishwa na ‘kapo’ yao huku wakionekana kwenye viwanja mbalimbali vya starehe wakiwa kimahaba lakini sasa mambo yanaonekana kwenda mrama. globalpublisher
MUSA MATEJA, Risasi Jumamosi
Dar es Salaam: Hii ni habari ya kipekee (Exclusive Story)! Mastaa wawili wenye majina makubwa Bongo ambao walikuwa wachumba walioshibana, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ na Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ wanadaiwa kumwagana, Risasi Jumamosi ndilo gazeti pekee linaloweza kuthubutu kukupa mchapo kamili.
Mastaa wawili wenye majina makubwa Bongo ambao walikuwa wachumba walioshibana, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ na Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ wakiwa katika pozi.
Habari ya mjini kwa sasa ni juu ya wawili hao ambao walikuwa gumzo kwa watoto wa mjini, kwa kila mmoja kuchukua hamsini zake na kufanya yake tofauti na walivyokuwa awali huku chanzo cha kutengena kwao kikitajwa kuwa ni wazazi wa sehemu zote mbili kutoridhiana.
Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa wawili hao, mbali na ishu ya wazazi, hivi karibuni Jokate na Kiba waliingia kwenye gogoro kubwa la kimapenzi baada ya kufumaniana kwenye simu, jambo ambalo limeendelea kutokea huku jamaa akiongoza kukutwa na meseji kwenye simu yake za mwanamke mmoja anayedaiwa kuishi nje ya Tanzania.
BOFYA HAPA KUSIKIA CHANZO
“Ukisema nikusimulie juu ya kumwagana kwa Jokate na Kiba basi tunaweza kukesha ila mbali na mambo ya wazazi, kwa kifupi tu ni kwamba, hawa watu wameingia kwenye mgogoro na kilichokuwa kikiwagombanisha mara nyingi ni uhusiano wao wa zamani.”
KIBA ANA DEMU?
“Mara kadhaa Jojo (Jokate) amekuwa akimlalamikia jamaa (Kiba) kuwa ana demu nje ya nchi ambaye amekuwa akimtundika katika mitandao ya jamii na kujinadi kuwa ndiye mkewe tofauti na wengi wanavyojua kuwa Jokate ndiye mtu wake.
“Mbali na hilo, sasa kuna suala la familia zao kuonesha hali ya kutokubaliana na wao kuoana hasa upande wa Jokate ambao ulionesha msimamo mkubwa kutomtaka hata kidogo Kiba, mambo hayo yamekuwa ni chagizo kubwa katika kuhatarisha mapenzi yao hivyo kufikia hatua hata ya wao kutoendelea kupendana kwa dhati kama ilivyokuwa mwanzo wa penzi lao.”
VIKAO VYAGONGA MWAMBA
“Tofauti na watu walivyozoea kuwaona pamoja, kwa sasa wametibuana na hapa tunapozungumza tayari kuna vikao kibao huko nyuma vilishakaa ili kunusuru penzi lao lakini imeshindikana maana kila mmoja sasa hivi anajifanyia mambo yake na hakuna dalili za kurudiana.
“Kiba anaonekana ameshajiingiza kwenye penzi la demu wake wa zamani huku Jokate naye akiwa ‘in love’ na mtu wake mwingine.”
MPANGO WA KUZAA WAYEYUKA
“Kitambo tu nimekuwa nikiwaambia kwa staili waliyokuwa nayo hakika wasingeoana hata kama ukiweka pembeni suala la dini zao kutoendana, maana kuna siku niliwasikia wakiambiana hata kama wazazi wakigoma wao wangefanya kila juhudi hata wazae pamoja tu.
“Lakini ukweli ni kwamba ilishindikana baada ya kuanza kugombana mara kwa mara, pamoja na kwamba Jokate alikuwa akikubalika kwa asilimia zote kwa mama Kiba na hata ndugu wengi wa Kiba walionekana kumpenda waziwazi,” kilisema chanzo hicho.
KIBA AFUNGUKA
Baada ya kupenyezewa mchongo huo, gazeti hili liliingia mzigoni kumtafuta Kiba ili atoe la moyoni juu ya madai hayo ya kumwagana na Jokate ambapo alipopatikana alisema kuwa haoni sababu ya kuzungumzia ishu hiyo kwani ni mambo binafsi.
“Kwanza sioni nini cha kuongelea hapa kwani kila jambo lina mipaka yake,” alisema Kiba akikataa kuulizwa zaidi juu ya suala hilo.
JOKATE VIPI?
Kwa upande wa Jokate alipotafutwa kwa siku kadhaa ili azungumzie sakata hilo kwa ufasaha hakupokea simu ya mwandishi wetu hadi gazeti linaingia mitamboni.
PENZI LA JOKATE NA KIBA
Awali zilipovuja habari za penzi la Jokate na Kiba wote walikanusha, kadiri siku zilivyosonga ndivyo walivyozidi kuwa gumzo kwa mashabiki wao waliofurahishwa na ‘kapo’ yao huku wakionekana kwenye viwanja mbalimbali vya starehe wakiwa kimahaba lakini sasa mambo yanaonekana kwenda mrama. globalpublisher
Nuh Mziwanda amedai kuwa aliyofanyiwa na Shilole ni mengi na mazito ambayo ilibidi ayafiche kwa maslahi ya penzi lao na heshima kwake
Akiongea kwenye kipindi cha D’Weekend Chat Show cha Clouds TV Ijumaa hii mbele ya Shilole aliyekuwa amejikunyata pembeni kwa kukasirishwa na uwepo wa ex wake studioni hapo bila kutaarifiwa mwanzoni, Nuh alisema Shilole hakuwa mwanamke wa kutawaliwa.
“Yeye anajua mambo gani alikuwa anafanya kwangu mambo ambayo yalikuwa hayastahili anifanyie. Alikuwa anafanya kwa kunichukulia poa kwamba nitafanya nini lakini at end of the day kila kitu kina mwanzo na mwisho,” alisema.
Nuh alisema ni ngumu tena kurudisha imani kwa mpenzi wako huyo licha ya kukiri kuwa bado hajaweza kuwa tayari kuwa na mwanamke mwingine kwa sasa.
Within a clip from Checking Up On the Kardashians, Kourtney usually takes fans behind the curtain of any nude photoshoot and shows what she’s most insecure about. “I feel as if my ass like vanished once I lost excess weight,” Kourtney tells digital photographer Brian Bowen Smith. “We have to plump it up! ”
“You’ll be amazed how wonderful your bum is going to seem,” the wedding photographer shows her. “We want to make the sisters jealous.”
Small sibling Kylie Jenner can also be in the set up (fully clothed) to provide her sibling some advice and present critiques, also. Nude shoots are in the household for the Kardashians, it appears.
Curvy Nollywood actress Evia Simon is absolutely endowed using a shape that could drive guys crazy, using a big Booty. But she actually is not discovering it humorous as they are truly attracting the wrong males to her.
Actress Evia Simon, a forthcoming Nollywood actress, is not locating lifestyle easy with all the way guys maintain troubling her daily, planning to sleep at night together with her.
Evia who is fortunate having a big bum now views the blessing being an embarrassment for she and her is sobbing to the randy gentlemen to permit her be.
She lamented within a current talk to she goes by by means of heck everyday and she is no longer finding it amusing.
My butt offers me unnecessary consideration and in many cases to me, it can be so uncomfortable occasionally.
Occasionally I do not just feel happy about it. Needless to say, there are other girls that are curvy, sexy, and beautiful, but you know, this really is they and me are them.
I am aware that I’m passing via hell daily, although i do not really know what they may be completing by means of. Even women get hilarious regarding it at times.
I’ve got numerous harassment on the streets. Folks humiliate us a great deal because of my huge bum.
Any person I fulfill wants to sleep at night with me due to my ass. You should I am just begging them; I am not all the about Ikebe.
Folks, you folks need to free of charge her you should.
But furthermore, look into these substantial backside and you will definitely understand what she passes through.
Actress Evia Simon, a forthcoming Nollywood actress, is not locating lifestyle easy with all the way guys maintain troubling her daily, planning to sleep at night together with her.
Evia who is fortunate having a big bum now views the blessing being an embarrassment for she and her is sobbing to the randy gentlemen to permit her be.
She lamented within a current talk to she goes by by means of heck everyday and she is no longer finding it amusing.
My butt offers me unnecessary consideration and in many cases to me, it can be so uncomfortable occasionally.
Occasionally I do not just feel happy about it. Needless to say, there are other girls that are curvy, sexy, and beautiful, but you know, this really is they and me are them.
I am aware that I’m passing via hell daily, although i do not really know what they may be completing by means of. Even women get hilarious regarding it at times.
I’ve got numerous harassment on the streets. Folks humiliate us a great deal because of my huge bum.
Any person I fulfill wants to sleep at night with me due to my ass. You should I am just begging them; I am not all the about Ikebe.
Folks, you folks need to free of charge her you should.
But furthermore, look into these substantial backside and you will definitely understand what she passes through.
DAR ES SALAAM: Good news? Huenda mambo yanaweza yakawa yamejipa kwa mwigizaji Kajala Masanja ‘Kay’ kwani kuna taarifa zinadai kuwa mwigizaji huyo amenasa mimba ya kigogo serikalini.
“Hivi hamna habari? Kajala mbona mjamzito. Tena yeye alianza kunasa kabla hata ya Wema, nashangaa mnakomalia kuripoti mimba ya Wema tu, Kay mmemuacha na kigogo wake,” kilimwaga ubuyu chanzo hicho.
Baada ya kupewa ubuyu huo, juzi Alhamisi, mwanahabari wetu wakati anaanza kuichimba habari hiyo, alitembelea kwenye ukurasa wa Instangram wa Kajala na kukutana na ujumbe ulionesha dhahiri kuwa mwigizaji huyo anajiandaa kuitwa mama kwa mara nyingine.
“Hey IG…do me a favor…help me to choose a name of my new baby coz Pau wants a name with P in the beginning and mimi sitaki..” aliandika Kajala akiwataka wafuasi wake katika mtandao huo wamsaidie kuchagua jina la mtoto wake ajaye kwani Pau (Paula) anataka jina linaloanza na herufi P lakini yeye hataki.
Alipopigiwa simu na mwanahabari wetu kuhusiana na ujumbe huo sanjari na taarifa za kuwa ni mjamzito wakati gazeti hili linakwenda mitamboni, Kajala alikata simu. (Huenda alikuwa sehemu ambayo hakuweza kuzungumza, bila shaka ataona habari hii na kutoa ufafanuzi zaidi kwani ni jambo la heri.)
globalpublishers.co.tz
DAR ES SALAAM: Baada ya hivi karibuni Video Queen Asha Salum ‘Kidoa’ kuibuka na kueleza kuwa, yuko tayari kufanya lolote ili awe na mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ kimapenzi, mdada huyo amenaswa tena juzikati akiwa na mwanasoka Mbwana Samatta hotelini.
Saa 5 usiku
Mishale ya saa 5.30 usiku, chanzo chetu kilichokuwa maeneo ya Hoteli ya Girrafe iliyopo Mbezi jijini Dar Jumapili iliyopita, kilitutonya kuwa kilikuwa kikiwaona wawili hao wakizama hotelini hapo bila kujulikana kilichowapeleka.
“Ee bwana nipo hapa Girrafe Hoteli, ila naomba nisijulikane kama nimewapa taarifa, ni hivi muda mrefu nimemuona Mbwana Samatta na yule mrembo mwenye makalio makubwa sijui anaitwa Kidoo….
Ijumaa: Siyo Kidoo, anaitwa Kidoa.
Chanzo: Ndiyo, huyo huyo.
Ijumaa: Endelea…
Chanzo: Ndiyo nawaona wako katika eneo la restaurant (hotelini), kama ni habari kwenu njooni mtawakuta.
Ijumaa: Wako katika mazingira gani?
Chanzo: Naomba kama mnahitaji habari mje tu usiniulize maswali mengi maana nitashitukiwa, wahini kabla hawajaondoka.
Ijumaa: Oke, poa tunakuja
Baada ya kupata taarifa hiyo, waandishi wetu walichukua usafiri wao wa pikipiki ziendazo kasi na kuanza safari ya kuelekea Mbezi.
Wakati paparazi wetu wakielekea eneo la tukio, simu ya mmoja wao ikaita, alikuwa yule sosi wa habari hiyo.
Kidoa na Samata wakiondoka hotelini.
Chanzo: Mbona mnachelewa? Naona wanainuka kama wanataka kuondoka
hivi. Wanaonekana kuwa wenye furaha sana. Naona wanapiga picha, Kidoa
anamsogelea. Kwa kifupi wanafanya yao.Ijumaa: Hebu wafotoe picha hata kwa kamera ya simu yako.
Chanzo: Sawa, ngoja nijaribu kufanya hivyo.
Saa 6 usiku
Mishale ya saa sita usiku, paparazi wetu wakawa wamefika hotelini hapo na kukuta wawili hao wakiingia kwenye gari aina ya Toyota Mark X nyeusi kisha kuondoka zao kuelekea kusikojulikana.
Wenyewe wanasemaje?
Jitihada za kuwasaka mastaa hao zilifanyika ambapo Samatta hakuweza kupatikana kupitia simu yake ya mkononi lakini Kidoa alipopatikana alikiri kufika hotelini hapo kwa mazungumzo ya kawaida na mwanasoka huyo aliyejipatia umaarufu mkubwa.
Hivi karibuni, Samatta aliitoa kimasomaso Tanzania baada ya kushinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani, iliyofanyika nchini Nigeria na kuweka historia ya kuwa Mbongo wa kwanza kupata heshima.
globalpublishers.co.tz
Many whisper nasty nothings about Draya and fiance Orlando Scandrick parting
ways, gossip that commenced simply because Draya has not been putting on her
engagement ring as of late, while we rave about her MILF. A single Flickr user
would like simply to discover the former actuality TV legend in a terrible
location, even though we are wishing the chat is not true.
This isn’t the Peppermint Swim designer’s initial rodeo, yet
it is the very first time she’s carried out a nude being pregnant capture
dripping in paint. The in the near future-to-be mum of two provided another
photograph in the sexy snap – with what may have quickly turn into a total
frontal, it’s Draya’s child lump, as an alternative, that is on complete
screen.
Gaby Hoffmann matured over a dubious actress who presently can be seen in enjoying popularity worldwide collection “Girls” and “Clear”.
It was actually the revelation in
the children’s cinema. She experienced the opportunity to be on the side of the
popular Hollywood superstars. These days is one of them.
Today, it is far away from little
one legend. Dawna adorable young girl likes to jolt and does not worry about
nearly anything or any individual, which could start to see the website
visitors one of many activities once the deal Glowing Globes.
Renowned because of its lavish and
striking design Hoffmann, this time around introduced itself in soft, stylish
design, then all shocked. The obvious “dullness” failed to go very far,
however.
The actress let go of inhibitions.
It took only a moment, which was on the floor, ROTFL a floor. Find out how
movie series celebrity was raging about the reddish carpet.
Sure crazy couple!…Lady Gaga and her fiancé Taylor Kinney got down and dirty for the cover of V Magazine.
Posing completely n’aked for a post-s’ex selfie taken in the mirror by Kinney himself, the couple apparently had a very important message to share with the racy image.
Covering themselves in colorful paint before having s’ex on a canvas, the loved-up couple wanted the resulting photo to be a reminder to “love each other wildly”.
Bofya hapo chini kuona gazeti lenyewe
Msanii wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’.
MAYASA MARIWATA
MSANII wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amefungukia ishu
ya mastaa wengi kupenda kwenda kujiuza nchi za nje ikiwemo Sauzi akisema
kuwa, wanaofanya hivyo hawajitambui na kinachowasumbua ni tamaa ya
pesa.Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Rayuu alisema alishasumbuliwa na wadada wengi wakimpa madili ya kwenda kujiuza China, Sauzi na kwingineko lakini akawatolea nje kutokana na msimamo alionao
“Unajua hakuna kinachowapeleka huko zaidi ya tamaa kwa kuwa kule wanalipwa kwa dola wakirudi huku wakizibadilisha wanapata pesa nyingi, halafu huku unakuta mtu ameshatembea na wanaume wengi ndiyo maana anakimbilia nje,” alisema Rayuu.
www.globalpublishers.co.tz
Staa asiyekaukiwa na vituko, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’.
Hamida Hassan
Staa asiyekaukiwa na vituko, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’
ameonekana kulazimisha penzi kwa mwanamuziki Koffi Olomide kutokana na
maelezo yake kwamba anampenda na atahakikisha anampata.
Akizungumza na Ijumaa baada ya Koffi kutua nchini kwa ajili ya shoo
aliyoifanya Ukumbi wa Escape One jijini Dar, Anti Lulu alisema anampenda
sana mwanaume huyo, amekuwa akifikiria jinsi ya kujisogeza kwake lakini
anashindwa.
“Unajua nampenda sana Koffi, siyo kimuziki tu bali na kimapenzi.
Niliwahi kumsikia akisema anapenda wanawake waliofungashia sasa
nikiunganishwa naye unadhani atapindua kwangu. Yaani silali kwa sababu
ya penzi lake,” alisema Lulu.
Kona ya Bongo Movie ilifanya tafiti na
kupata orodha fupi ya baadhi ya wasanii hao wa Bongo Movie waliokuwa
marafiki na kuishia kuwa kwenye bifu.
WEMA NA AUNT
Katika hali isiyo ya kawaida mashosti
wawili, changu chako, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel waliingia kwenye bifu
zito Mei, mwaka huu baada ya Aunt kuifanyia ‘promo’ Zari All White Party
iliyoandaliwa na Zarinah Hassan ‘Zari’ kwa kushirikiana na mwandani
wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Bifu hilo linasemekana lilianzishwa na Wema aliyekuwa mpenzi wa Diamond na Aunt kufanya hivyo ikaonekana kama amemsaliti.
Kama haitoshi bifu hilo lilizidi
kuchukua sura mpya hata baada ya kupatanishwa na watu wao wa karibu,
Wema hakuhudhuria kwenye arobaini ya mtoto wa Aunt (Cookie) na Aunt
hakualikwa kwenye sherehe ya kuzaliwa ya Wema.
LULU NA HAMISA
Staa wa filamu asiyechuja tangu utotoni,
Elizabeth Michael ‘Lulu’ naye aliingia kwenye bifu na mwanamitindo
maarufu Bongo, Hamisa Mobeto baada ya kumtuhumu kuwa amemchukulia
mwanaume aliyezaa naye na kusababisha mwanaye kutopata matunzo
yanayostahili kutoka kwa baba yake.
BATULI NA WEMA
Katika kipindi cha kampeni (Oktoba),
Wema na Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ waliibua urafiki baada ya mwanadada huyo
nyumba yake kuungua moto na kuhamishia makazi kwa Wema.
Huku wakionekana kupendana kama mapacha
kwa kuvaa sare na kuongozana kila kona, baada ya muda urafiki wao
uliingia doa hata kwenye sherehe ya kuzaliwa ya Wema, Batuli
hakuhudhuria na mpaka sasa hakuna aliyetaka kufungukia bifu lao
lilisababishwa na nini.
Staa wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper
aliingia kwenye bifu na msanii mwenzake, Aunt Ezekiel katika kipindi cha
kampeni (Oktoba), ambapo wote walikuwa mashabiki wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na baada ya muda Aunt akahamia Chama
Cha Mapinduzi (CCM) ndipo Wolper akamshukia mwenziye kwa madai kuwa
kilichompeleka ni tamaofauti zao.a ya pesa na kuanza kutupiana vijembe
japo baada ya uchaguzi wameonekana kumaliza t
Wasanii hao waliingia kwenye timbwili la
aina yake katika kipindi cha kampeni ambapo awali Musa ‘Kitale’ alikuwa
mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Jimmy ‘Mafufu’
lakini baada ya muda Kitale alihamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndipo
mwenzake akamchana kwa kitendo hicho na kuanza kupakana mitandaoni na
kutishiana kupigana huku bifu lao likipozwa na mashabiki.
Mastaa hawa waliokuwa mashosti wakubwa
ambao bifu lao ni la kitambo na mpaka mwaka unakatika limeshindwa
kuchukua sura mpya kwa kile kinachodaiwa kuwa Kajala alimchukua Kigogo
wa Wema anayefahamika kwa jina la CK.
Siku chache zilizopita wawili hao
walitibuana tena kwenye shoo ya Skylight Band iliyofanyika Fukwe za
Escape One, Mikocheni jijini Dar baada ya kila mmoja kumuonesha mwenziye
ufahari wa kutunza pesa jukwaani na Kajala kuibuka kidedea ndipo Wema
akiwa na timu yake akachukia na kumshambulia Kajala.
Wasanii hawa waliingia kwenye bifu
kipindi cha kampeni kwa kutupiana vijembe baada ya Chuchu Hans aliyekuwa
Chadema na Wolper kudumu siku chache tu na kuhamia CCM.
Wolper alitumia mitandao ya kijamii kwa
kumchana Chuchu kuwa ni msaliti, hata hivyo baada ya uchaguzi kuisha
walimaliza tofauti zao.
MREMBO Faiza Ally, ambaye amejizolea umaarufu baada ya
kutinga ukumbini akiwa amevaa ‘Pampers’ siku ya kuzaliwa
kwake, amefunguka kuwa kivazi kingine akachokivaa Desemba 19, Fukwe za
Coco Aqua kitawapa presha watu wengi kutokana na kuwa gumzo zaidi.
Akizungumza na kona ya Bongo Movies, Faiza ambaye ni mzazi mwenzake
na Mbunge wa Mbeya Mjini,Joseph Mbilinyi alisema kuwa siku hiyo pia
itakuwa siku yake ya kuzaliwa hivyo kivazi atakachokivaa hakijawahi
kuvaliwa nchini.
“Pampers iliwashangaza watu lakini kwa kweli kivazi nitakachotinga safari hii hakijawahi kuvaliwa ulimwenguni kabisa.
Nitakuwa nikisherehekea siku yangu ya kuzaliwa na kutakuwa na
kiingilio, fedha itakayopatikana nitawasaidia watoto yatima,” alisema
Faiza.
Gift Stanford Giggy Money’.
STORI: GABRIEL NG’OSHAPAMECHIMBIKA! Habari ikufi kie kwamba bifu jipya mjini kwa sasa ni kati ya wauza nyago (video queens) wawili kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford Giggy Money’ na Asha Salumu ‘Kidoa’ kila mmoja akijiona yupo juu kuliko mwenzake.
Asha Salumu ‘Kidoa’.
Alipotafutwa Kidoa hakupatikana kujibu mapigo ya Giggy ambaye amekuwa akimchana Kidoa mara kadhaa.
Aisha Ramadhan ‘Isha Mashauzi’.
Richard BukosPenzi la dhati halifi! Kwa mara ya kwanza tangu
ndoa yake ivunjike miaka kadhaa iliyopita, the big boss wa Mashauzi
Classic, Aisha Ramadhan ‘Isha Mashauzi’ amenaswa akioneshana mahaba niue
hadharani na zilipendwa wake, Jumanne Islam ‘Tevez’.
Tukio hilo lililopigwa chabo na Ijumaa Wikienda lilijiri wikiendi
iliyopita kwenye Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar ambapo
Kundi la Mashauzi Classic lilikuwa likizindua wimbo wake mpya uliokwenda
kwa jina la Jiamini.
Katika shughuli hiyo, Tevez aliwasili ukumbini hapo na kumkuta Isha
akiwa amepozi kona ndipo mdada huyo, akainuka na kwenda ‘kumchumu’
mumewe huyo wa zamani.
Wakati wakifanya yao, paparazi wetu alikuwa akiwafuatilia kwa umakini
sambamba na kuwapiga picha za mnato lakini Isha alipomshtukia, aligeuka
mbogo na kumchimbia mkwara:
“Jamani hebu tuachieni umbeya wenu huyu ana mtu wake na mimi nina mtu wangu hamtaki hata watu wasisalimiane jamaniii…”
Kwa upande wa Teves alisema hawezi kukumtupa Isha kwani wametoka mbali.
www.globalpublishers.co.tz
Za Chembe Lazima Ukae
Ojuku Abraham, +255 719 786 355
MIAKA kadhaa ya kufanya kazi na watu
wenye majina makubwa, wenye mamlaka na walio katika nafasi nyeti, imenipatia
funzo kwamba unapaswa kuwa makini sana kwa nyendo zako, kama lengo lako ni kuwa
mtu maarufu, lakini mwenye hadhi katika jamii.
Unapokuwa mtu maarufu, unachukuliwa kama mfano na
bahati mbaya, mfano ni mfano tu, uwe mbaya au mzuri. Mtu anaweza kumwambia
mwanaye kwa mfano, asiwe malaya kama Kim Kardansian, yule dada mrembo mwenye
msururu wa wanaume aliotokanao huko Marekani. Ni staa mkubwa lakini mwenye sifa
mbaya, licha ya hivi sasa kuwa mke wa Kanye West.
Na mtu mwingine anaweza kukuambia kuwa wapaswa
kuwa na nidhamu, heshima na utu kama Ronaldo de Lima, mwanasoka nyota aliyepata
kila aina ya mafanikio uwanjani, akishinda mataji yote makubwa ya soka duniani,
lakini akibakia kuwa muungwana uwanjani, mpole nje ya uwanja na mwenye utu
katika maisha ya kijamii.
Umaarufu unakufanya uwe mtu wa kutazamwa kwa kila
unachokifanya. Watu wataulizana, hivi fulani ameoa? Ana watoto wangapi, maisha
yake yakoje, anapendeleaga nini na mambo mengine chungu nzima. Na mara nyingi,
umaarufu unapatikana kupitia kazi tunazofanya.
Lakini umaarufu huu nao umegawanyika, ule wa sifa
mbaya na ule wenye hadhi. Tunao mastaa ambao siku zote tunategemea kusikia juu
ya skendo na inapotokea wakatokea kwenye shughuli zenye heshima, kila mmoja
huidharau hafla hiyo. Hawa wapo na wote tunawajua.
Lakini wapo baadhi ya mastaa wetu ambao inakuwa
vigumu kidogo kuamini tunaposikia habari mbaya zinazowahusu, hata kama ni kweli
wamefanya kinachosemwa. Hii ni kutokana na jinsi wao wenyewe walivyojitengeneza
katika umaarufu wao.
Enzi zile nikikua, kulikuwa na jambazi mmoja
maarufu sana jijini Dar es Salaam, akiitwa Nyau. Habari zake zilitingisha kila
kona na kila mmoja aliogopa kukutana naye. Ziliposikika habari kwamba ameuawa,
kila mpenda amani alifurahi. Unapoona watu wanafurahia anguko lako, ni dhahiri,
maisha yako yalikinzana na matazamio yao!
Kwa nini nimesema hivi, ni kwa sababu uzoefu
wangu kwa miaka niliyojihusisha na mastaa, unanionesha kuwa wapo baadhi yao
hawajui namna ya kuishi katika hadhi waliyonayo, wengi wao wakitumia ustaa wao
kujinufaisha kwa njia zisizofaa na wachache, wakiishi hasa maisha yenye kwenda
sawia na hadhi waliyojijengea.
Wapo watu wanaotafuta majina makubwa ili wafanye
utapeli na umalaya. Lengo lao ni kutumia umaarufu wa majina yao ili kufanikisha
lengo lake. Bahati mbaya inakuja pale anapoitumia fani kutimiza lengo lake,
matokeo yake ni kuonekana watu wote walio katika industry kuwa ni wenye sifa
kama zake.
“Unataka kuwa muigizaji, achana na hiyo fani,
wasichana wa Bongo Movie ni malaya,” mtu mmoja anaweza kumwambia binti
anayejaribu kupenyeza ili awe muigizaji, aweze kutimiza ndoto zake za muda
mrefu.
Hii haimaanishi kweli kuwa Bongo Movie ni chaka
la wahuni, isipokuwa kwa sababu mtu mmoja au wawili, wameitumia fani hiyo
vibaya. Watu wengine wamejaribu kuwa wasanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, dansi
au taarab, wakiamini huko kunaweza kupata umaarufu.
Ninajua wapo wasanii wenye majina makubwa, lakini
wanayatumia vizuri kuchangamkia fursa zinazokuja mbele yao, hawa sina tatizo
nao. Lakini sipendezwi zaidi na matapeli au malaya wanaotumia fani kutekeleza
matakwa yao.
Rai yangu ni kwa jamii zinazohusika, kuwakataa
watu hawa kuwa miongoni mwao. Tusikubali matapeli wajineemeshe kwa majina
wanayoyapata kupitia fani zetu. Uzuri ni kuwa tunajuana, tunafahamu kuwa huyu
anaishi kwa sababu ya utapeli au wanaume, fani ni kigezo tu, tumkatae!
The actress wore a partially knee length, sheer, bedazzled dress leaving little to the imagination.
Pinkett, 44, was accompanied by her stepson Trey Smith and husband, Will Smith, 47, who let his wife steal the show as he played background in a subtly patterned dark suit.
Previous PostOlder Posts
Home




































