Aunt, Wema sasa wanazingua

Aunt Ezekiel
STORI: IMELDA MTEMA

MIZINGUO! Mastaa wawili wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel Grayson na Wema Isaac Sepetu, wanadaiwa kuwazingua mashabiki wao kwa tabia yao ya kugombana na upatana kila kukicha.

Wema Isaac
Mashabiki wa mastaa hao wanaonekana kukasirishwa na hali hiyo baada ya hivi karibuni kutibuana na haukupita muda mrefu wakatupia picha wakiwa amekumbatiana hivyo mashabiki wao kuamini kuwa huenda wanatafuta ‘kiki’ ili wasikauke kwenye vinywa vya watu.
                                                       
Next PostNewer Post Previous PostOlder Post Home

0 comments:

Post a Comment