Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahri Kidavashari.

Mkazi wa kijiji cha Kalovya – Inyonga wilayani Mlele, Ramadhani Ally (20) amefariki dunia akipatiwa matibabu hospitalini baada kupigwa na kijana mwenzake.

Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahri Kidavashari amesema kuwa Ramadhani alifikwa na umauti baada ya kujeruhiwa na kijana mwenzake Ntema Kabembenya( 26), mkazi wa kijiji cha Ipwaga.

Kidavashari amesema tukio hilo lilitokea Januari 22, mwaka huu saa 12:55 jioni ambapo Ntema alimkuta Ramadhani (marehemu) akimtongoza dada yake (Ntemwa) mwenye umri wa miaka 12 (jina limehifadhiwa).

“Ntemwa alikasirishwa na kitendo cha Ramadhani kumtongoza dada yake mwenye umri wa miaka 12, alimshambulia Ramadhani kwa kumpiga na fimbo na kumjeruhi vibaya,” alieleza Kamanda Kidavashari.

Inadaiwa Ramadhani alikimbizwa katika Hospitali ya wilaya ya Mlele kwa matibabu lakini alifariki dunia siku iliyofuata akiwa anatibiwa.

Kwa mujibu wa Kidavashari, mtuhumiwa anashikiliwa na Jeshi la Polisi ambapo anatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma inayomkabili.






Kununua kitu kupitia mtandao siyo wa kuamini sana!! 


Staa wa Bongo, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’.



MUSA MATEJA, Risasi Jumamosi
Dar es Salaam: Hii ni habari ya kipekee (Exclusive Story)! Mastaa wawili wenye majina makubwa Bongo ambao walikuwa wachumba walioshibana, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ na Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ wanadaiwa kumwagana, Risasi Jumamosi ndilo gazeti pekee linaloweza kuthubutu kukupa mchapo kamili.



Mastaa wawili wenye majina makubwa Bongo ambao walikuwa wachumba walioshibana, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ na Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ wakiwa katika pozi.

Habari ya mjini kwa sasa ni juu ya wawili hao ambao walikuwa gumzo kwa watoto wa mjini, kwa kila mmoja kuchukua hamsini zake na kufanya yake tofauti na walivyokuwa awali huku chanzo cha kutengena kwao kikitajwa kuwa ni wazazi wa sehemu zote mbili kutoridhiana.



Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’.

TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa wawili hao, mbali na ishu ya wazazi, hivi karibuni Jokate na Kiba waliingia kwenye gogoro kubwa la kimapenzi baada ya kufumaniana kwenye simu, jambo ambalo limeendelea kutokea huku jamaa akiongoza kukutwa na meseji kwenye simu yake za mwanamke mmoja anayedaiwa kuishi nje ya Tanzania.

BOFYA HAPA KUSIKIA CHANZO
“Ukisema nikusimulie juu ya kumwagana kwa Jokate na Kiba basi tunaweza kukesha ila mbali na mambo ya wazazi, kwa kifupi tu ni kwamba, hawa watu wameingia kwenye mgogoro na kilichokuwa kikiwagombanisha mara nyingi ni uhusiano wao wa zamani.”

KIBA ANA DEMU?
“Mara kadhaa Jojo (Jokate) amekuwa akimlalamikia jamaa (Kiba) kuwa ana demu nje ya nchi ambaye amekuwa akimtundika katika mitandao ya jamii na kujinadi kuwa ndiye mkewe tofauti na wengi wanavyojua kuwa Jokate ndiye mtu wake.

“Mbali na hilo, sasa kuna suala la familia zao kuonesha hali ya kutokubaliana na wao kuoana hasa upande wa Jokate ambao ulionesha msimamo mkubwa kutomtaka hata kidogo Kiba, mambo hayo yamekuwa ni chagizo kubwa katika kuhatarisha mapenzi yao hivyo kufikia hatua hata ya wao kutoendelea kupendana kwa dhati kama ilivyokuwa mwanzo wa penzi lao.”

VIKAO VYAGONGA MWAMBA
“Tofauti na watu walivyozoea kuwaona pamoja, kwa sasa wametibuana na hapa tunapozungumza tayari kuna vikao kibao huko nyuma vilishakaa ili kunusuru penzi lao lakini imeshindikana maana kila mmoja sasa hivi anajifanyia mambo yake na hakuna dalili za kurudiana.

“Kiba anaonekana ameshajiingiza kwenye penzi la demu wake wa zamani huku Jokate naye akiwa ‘in love’ na mtu wake mwingine.”

MPANGO WA KUZAA WAYEYUKA
“Kitambo tu nimekuwa nikiwaambia kwa staili waliyokuwa nayo hakika wasingeoana hata kama ukiweka pembeni suala la dini zao kutoendana, maana kuna siku niliwasikia wakiambiana hata kama wazazi wakigoma wao wangefanya kila juhudi hata wazae pamoja tu.

“Lakini ukweli ni kwamba ilishindikana baada ya kuanza kugombana mara kwa mara, pamoja na kwamba Jokate alikuwa akikubalika kwa asilimia zote kwa mama Kiba na hata ndugu wengi wa Kiba walionekana kumpenda waziwazi,” kilisema chanzo hicho.

KIBA AFUNGUKA
Baada ya kupenyezewa mchongo huo, gazeti hili liliingia mzigoni kumtafuta Kiba ili atoe la moyoni juu ya madai hayo ya kumwagana na Jokate ambapo alipopatikana alisema kuwa haoni sababu ya kuzungumzia ishu hiyo kwani ni mambo binafsi.

“Kusema kweli ishu hii mimi sina uwezo wa kuiongelea zaidi kwa sasa kwani ni mambo binafsi sana na sioni faida ya kuzungumzia vitu ambavyo havina maana.
“Kwanza sioni nini cha kuongelea hapa kwani kila jambo lina mipaka yake,” alisema Kiba akikataa kuulizwa zaidi juu ya suala hilo.

JOKATE VIPI?
Kwa upande wa Jokate alipotafutwa kwa siku kadhaa ili azungumzie sakata hilo kwa ufasaha hakupokea simu ya mwandishi wetu hadi gazeti linaingia mitamboni.



PENZI LA JOKATE NA KIBA
Awali zilipovuja habari za penzi la Jokate na Kiba wote walikanusha, kadiri siku zilivyosonga ndivyo walivyozidi kuwa gumzo kwa mashabiki wao waliofurahishwa na ‘kapo’ yao huku wakionekana kwenye viwanja mbalimbali vya starehe wakiwa kimahaba lakini sasa mambo yanaonekana kwenda mrama. globalpublisher

Kweli dada umetokelezea lakini je umevaa fasheni gani??


Picha hii iliwekwa mtandaoni na haikuwa na mashiko sana kwa watu kuifuatilia. Lakini baada ya wachache kuijadili imeshika kasi sana wiki hii kusambaa. Picha ni ya mwanamke aliyekalia kitako cha pikipiki akijiweka katika hali ndogo ya usalama kisa ni kutaka "kuua ndege wawili kwa jiwe moja". 

Na hakufikiria kuwa akiwa katika mwendo pikipiki inaweza kumsababisha akadondoka na kujijeruhi au kupoteza maisha kabisa. 





Je? ni halisi


TOA MAONI KAMA NI KWELI HAPO CHINI
Nuh Mziwanda.

Hamida hassan

Kama huna taarifa basi kaa ukijua kuwa, lile penzi lililokuwa na sarakasi nyingi, mara wafumaniane, mara wapigane, mara waachane sasa limefikia mwisho kama siyo kikomo. Nawazungumzia mastaa wawili, Nuh Mziwanda na Shilole ambao wametangaza rasmi kwamba kila mmoja kuwa na hamsini zake.

Shilole amesema kuwa, haoni sababu ya kuendelea na Nuh kwa kuwa anahisi anambana tu na wala haoni faida kubwa ya kuwa naye.

Nuh Mziwanda akiwa na aliyekuwa mpenzi wake Shilole.

Kufuatia maneno hayo, Nuh ameona isiwe kesi, amekubali yaishe lakini taarifa iliyotua kwenye ukurasa huu ni kwamba, jamaa anahaha kufuta tatuu aliyojichora mwilini mwake yenye jina la Shilole.

“Kimsingi ile tatuu ya Shilole inamtesa sana Nuh,” alisema rafiki wa msanii huyo.
Nuh anasemaje? Msikie: “Ni kweli ila hii tatuu nitaifuta nitakapompata wa kuziba pengo la Shilole.”. globalpublisher
Mwanamuziki aliyejipatia umaarufu mkubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

Musa mateja, ijumaa
Dar es Salaam: Hii ni zaidi ya kufuru! Mwanamuziki aliyejipatia umaarufu mkubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au ukipenda muite Simba ameweka historia kwenye ulimwengu wa muziki wa Bongo Fleva kwa kumuajiri binti msomi aitwaye Zaituni Musa Bakari ili amkatie mauno kwenye shoo zake.


Binti msomi aitwaye Zaituni Musa Bakari akimkatikia mauno Diamond Platinumz.

Ni dansa tegemezi
Zaituni, binti aliyejaaliwa kuwa na figa bomba, alianza kufanya kazi na Kampuni ya Wasafi Classic Baby (WCB) muda mrefu lakini hivi karibuni wakati akiendelea kunengua, alijiunga na Chuo cha Biashara cha CBE jijini Dar akichukua Stashada ya Manunuzi na Ugavi (Diploma in Procurement and Supply).

Inadaiwa wakati akisoma chuoni hapo ni wachache waliokuwa wakijua kuwa anasoma hivyo kumfanya afanye mambo hayo mawili kwa wakati mmoja kwa makini.

Hata hivyo, mwaka 2015 baada ya kuhitimu masomo yake ndipo siri ikavuja kuwa, mdada huyo ni msomi na ndipo alipoanza kuwa gumzo kila kona ya Jiji la Dar es Salaam.

Analipwa mshahara mkubwa
Chanzo kilicho ndani ya WCB kilidai kuwa, mshahara anaovuta mdada huyo ni mkubwa kutofautisha na wengine ndiyo maana licha ya kuhitimu, bado anaendelea kunengua.

“Unajua yule binti anajua sana kukata mauno na ni mtu muhimu sana kwenye kundi la madansa. Ukifuatilia kwenye shoo nyingi ndiye ambaye mara nyingi hucheza na Diamond huku akimkatikia, mshahara wake ni mkubwa sana,” kilidai chanzo hicho.

Baada ya kupata taarifa hizo, mwandishi wetu alifanya jitihada za kumtafuta mdada huyo na alipopatikana mahojiano yalikuwa kama ifuatavyo:

Ijumaa: Ni lini ulianza kufanya kazi hii?
Zaituni: Nilianza kudansi nilipomaliza kidato cha nne na baadaye nikaja kula shavu kwenye kundi hili la madansa wa Diamond.



Zaituni Musa Bakariakiwa katika pozi.

Ijumaa: Ilikuwaje ukajiingiza kwenye kazi hii ambayo baadhi huidharau?
Zaituni: Ni kitu ambacho kilikuwa kwenye damu yangu, napenda kudansi na najua kudansi hivyo nilipopata nafasi ya kuja kufanya kazi na WCB, sikusita na wala sikusikiliza maneno ya watu.

Ijumaa: Shepu yako inaonekana umejaaliwa, unawezaje kumudu kufanya mavituz jukwaani?

Zaituni: Kikubwa ni mazoezi, nafanya mazoezi sana ndiyo maana naumudu mwili wangu.
Ijumaa: Wewe ni msomi, umesomea mambo ya Manunuzi na Ugavi, kwa nini usiende kufanya kazi hiyo?

Zaituni: Hayo mambo yatakuja baadaye lakini kwa sasa nafanya kazi hii na nina mpango wa kwenda kuchukua shahada katika fani hiyo.
Ijumaa: Inasemekana wewe ndiye unayelipwa mshahara mkubwa sana kwenye wale madansa pale WCB, kuna ukweli wowote?

Zaituni: Kwa kweli sijui maana si unajua mshahara ni siri ya mtu, huenda ikawa hivyo lakini sina jibu la moja kwa moja.
Ijumaa: Kwani unalipwa kiasi gani?
Zaituni: Hiyo sasa ni siri yangu kaka.

Baada ya kuzungumza na dansa huyo, Ijumaa lilimtafuta Diamond kumzungumzia dansa wake huyo msomi ambapo alisema anajisikia poa kufanya naye kazi na anaamini ana mapenzi na kazi hiyo ndiyo maana amekubali kuwa WCB.
Kuhusu madai kuwa analipwa msharaha mkubwa, Diamond alisema hiyo ni siri kati ya muajiri na muajiriwa. globalpublisher
Mashoga hao wakiwa mikononi mwa polisi, 
picha ndogo(kushoto) ni mteja wao aliyedaiwa kuuawa. 
JAJI wa mahakama moja huko Manhatan, jijini New York, Marekani, amewahukumu mashoga wawili wa kiume kifungo cha maisha kwa kumuua mteja wao wa siku nyingi katika makazi yake eneo la Chelsea.

Mashoga hao (pichani) Edwin Faulkner (kushoto) mwenye umri wa miaka 33 na Juan Carlos Martinez-Herrera ( 35) watayamalizia maisha yao gerezani.

Hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Bonnie Wittner katika mahakama hiyo jana. Watu hao walimkaba kwa kumziba pumzi na kumwibia mteja wao huyo, John Laubach (57) Machi 2, 2012.

“Alikuwa mteja wangu, tulikuwa tunakwenda kwake kila mara ambako alikuwa ananilipa kwa kufanya naye ngono,” alikiri Martinez-Herrera katika mahakama hiyo.

Wawili hao walimwibia Laubach vito mbalimbali na vitu vingine vya thamani kabla ya kutorokea Jimbo la Miami.

Martinez-Herrera, ambaye alikuwa amevaa nguo za kiume wakati alipokamatwa, alitokea mahakamani akiwa na nywele ndefu na akizungumza kwa sauti ya kike.

A group of about 16 women bared their b.uttocks as they stormed into the offices of the ANC (African National Congress) in Tshwane, SA on Monday. 

They were protesting against party and it got this far, what will it be when they protest against government? 

A security guard who witnessed the saga said, “Some had unzipped their jeans, lifted their tops and undone their bras before turning away to expose their naked backsides in full view of cameraman.”


According to report,These wom-en move from one bar to another showing off their goodies and whoever shows the best ‘one’ gets the most drikes..








Nyota wa filamu Nigeria, Mercy Johnson. 

NYOTA mcheza sinema wa Nigeria, Mercy Johnson amerejea katika shepu yake bomba baada ya kujifungua mtoto wa tatu. Amerejea umbo lake hilo murua bila ya kutumia mkanda wa kubanana kupunguza ukubwa wa tumbo kama wanavyofanya wanawake wengine siku hizi. 

Mwigizaji huyo alionekanamitaani akiwa katika umbo la kuvutia baada ya kurejea kuwapeleke wanaye shuleni na kuingia katika duka moja kununua ‘ice cream’ akiwa na rafiki yake. 

Kutokana na shepu yake ya kuvutia si rahisi kuamini kwamba mrembo huyo ana watoto watatu na anategemea hata kupata wa nne karibuni. globalpublisher



JE t@k() hili ni halisi????????????


This Arsenal fan has taken fanatical support to new heights by getting married in a full Arsenal kit and luckily for him, his wife approved. “My wife is from Woking and she is awesome,” he wrote on Facebook. “She let me get married in my full Arsenal kit! Maybe I just got lucky.” 

BOFYA HAPA KUONA SHABIKI MWINGINE ALIYEFANYA HIVYO






Bomu jipya kutoka kwa mama T, amuonya mrembo wema sepetu aache kuulizia DNA ya mtoto wake badala yake akapime ultra sound ya mtoto ambao anadai amembeba tumboni mwake, mrs T aliendelea kutiririka na kumtaka wema sepetu akashindane na level zake sio yeye





Kwa utafiti wangu mdogo unaonesha kuwa katika makabila yote ya hapa Bongo tzee, mabinti wa kabila la Kichaga ndio hasa wanaongoza kwa kulilia ndoa. 

Yani ukikaa naye kwenye mahusiano ndani ya kipindi kisichozidi mwaka, lazima atakuwa ameshaanza kulilia ndoa.

Sasa ninaomba kufahamu kuwa huwa ni suala la kisaikolojia au ndivyo mila zao zinavyowafundisha kufanya hivyo?

Mabinti wengi wa kabila jingine huwa ni wavumilivu, hata kama watalilia, watalilia kindani ndani na wala huwezi jua mpaka kidume uamue kutangaza njaa ya kuweka ndani...

Is it the season of leaking female Nud3 photos on Uganda??? It all started with Desire Luzinda nud3 photos, which were leaked by her estranged boy-friend. This time round Irene, (pictured Below) decided to give the social media a taste of her g()()dies after she l3aked her own Nud3 photos… Am quite sure, some Ugandan men are enjoying this season of nud3s…. 




Isn’t this sad that some girls has no atom of respect for themselves. This is why many guys hardly have respect for woman. A story is making the rounds on social media and it involves a drunk lady who was at the beer parlor with her boyfriend.

The unidentified lady in Enugu, under the influence of alcohol, stripped completely in her birth suit and took daring photos with her boyfriend who appeared to have buried his mouth on one of her ‘nippies’.

Wonder how people showed support to even take photos of this nasty sight. We do not have the identity of the woman and cannot verify either if she is an ‘ashii’ or the man’s girlfriend.

Personally, I doubt if she is the man’s girlfriend due to the total disrespect he had for her as she displayed her nakedies before all while he had his mouth tearing all over her body. But then, you can never tell with today’s women ooh. See crazy photos below;





Kwa mujibu wa ripoti, huyu dada alikamatwa kwa kuiba simu Enugu ambapo kundi kubwa lilimvamia dada na kumvua nguo na kumdharirisha.

Bahati nzuri aliyonayo, aliokolewa na afisa wa polisi ambaye naye aliishia kumdharirisha akiwa anamuokoa kutoka kwa wananchi wenye hasira kali.

Ona uso wa furaha wa afisa, je ni kweli polisi na rafiki yako???


30 year old Hollywood alum, Masika Kalysha who claims she’s pregnant for rapper 24 year old rapper, Fetty Wap, posed completely n-ude in a new photo released on her IG page. Recall that the rapper has publicly denied that he’s the dad.









Next PostNewer Posts Previous PostOlder Posts Home